Salamu María, umejaa neema,

Bwana yu nawe.

Umebarikiwa kuliko wanawake wote,

na Yesu, mzao wa tumbo lako, amebarikiwa.

Maria Mtakatifu, Mama wa Mungu,

utuombee sisi wakosefu,

sasa na saa ya kufa kwetu.

Amina.

Posted in ,

Leave a comment